Daktari kizimbani kwa kuwapa wagonjwa sumu Aliyekuwa daktari wa nusukaputi amefikishwa mahakamani katika mji wa Besançon, mashariki mwa Ufaransa, akituhumiwa kuwapata sumu kwa makusudi watu 30, wakiwemo wagonjwa 12 waliofariki. Read more about Daktari kizimbani kwa kuwapa wagonjwa sumu