Korosho zilizobanguliwa zapata soko Uholanzi

Korosho zilizobanguliwa

Jumla ya tani zipatazo 26  za korosho zilizobanguliwa, pamoja na tani moja ya nyama ya mabibo, zinatarajiwa kusafirishwa kwenda nchini Uholanzi na Ujerumani, baada ya kupatikana kwa soko la uhakika katika nchi hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS