Tanzania yakopeshwa trilioni 1.8 na Benki ya Dunia

Waziri wa fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba

Benki ya Dunia imeiidhinishia Tanzania, mkopo wenye masharti nafuu pamoja na msaada vyote vikiwa na thamani ya dola za Marekani milioni 775, sawa na takribani shilingi za Tanzania trilioni 1.8 kwa ajili ya kusaidia utekelezaji wa bajeti, kuboresha uchumi na huduma za afya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS