Wakamatwa kwa kuiba vifaa kwenye daraja la JPM

Daraja la JPM

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashilikia watu 9 kwa tuhuma za makosa mbalimbali ikiwemo wizi wa vifaa vya ujenzi katika mradi wa reli ya kisasa ya SGR pamoja na ujenzi wa daraja la Kigongo – Busisi maarufu kama daraja la JPM.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS