Edward Lowassa kuchukua fomu ya Urais Jumatatu

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa (katikati) akiwa ameshikana mikono na mgombea mwenza, Juma Duni Haji (kushoto)

Mgombea urais kupitia umoja wa katiba ya wananchi UKAWA kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mhe. Edward Lowasa anatarajia kuchukua fomu siku ya jumatatu katika ofisi za makao makuu ya tume ya taifa ya uchaguzi NEC jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS