MBEYA: Mama amuua mtoto wake

Mbeya

Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya, linamshikilia Joyce Matingo (26), mkazi wa Unyamwanga wilaya ya Rungwe, mkoani Mbeya kwa tuhuma za kumuua mtoto wake aitwaye Emily Matingo(9) kwa kumpiga sehemu mbalimbali za mwili wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS