Defao aonekana akiwa 'mchovu' Kenya

Staa mkongwe wa muziki kutoka DR Congo, Jenerali Defao

Staa mkongwe wa muziki kutoka DR Congo, Jenerali Defao baada ya kutosikika kwa muda mrefu ameonekana huko Kenya, akiwa na muonekano tofauti na alivyozoeleka kutokana na kupungua mwili kwa kiasi kikubwa, na weupe wa ngozi yake ukitia mashaka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS