Rais Samia atoa neno wanaosema anakopa sana

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amewataka wale wote wanaosema kwamba awamu yake inakopa sana, wasiache kusema kwamba hiyo ndiyo awamu yake inayojenga sana miundombinu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS