Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amewataka wale wote wanaosema kwamba awamu yake inakopa sana, wasiache kusema kwamba hiyo ndiyo awamu yake inayojenga sana miundombinu.