Jaji Mkuu ataka Bunge lifanye mabadiliko ya sheria

Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma

Mahakama Kuu imelitaka Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wadau wa sheria kuangalia upya sheria ya usuluhishi ili kurekebisha kifungu cha uhiari kutokana na sasa kuwepo na idadi ndogo ya mashauri yanayoamriwa kupitia usuluhishi na hivyo kupelekea mlundikano wa mashauri mahakamani

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS