CHADEMA waomba TANESCO iangaliwe upya

Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mara, Lucas Ngoto

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Mara, kimeiomba serikali kuangalia upya mifumo ya uendeshaji wa Shirika la Umeme (TANESCO) ili kudhibiti tatizo la umeme kukatika mara kwa mara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS