Majambazi waliovamia Goba wakamatwa

Moja ya tukio walilofanya majambazi hao

Jeshi la Polisi Kanda Maaalum ya Dar es Salaam, linawashilikilia watuhumiwa wawili wa uhalifu wa kutumia silaha kati ya watuhumiwa wanne ambao wanatuhumiwa kufanya matukio ya unyang'anyi kwa kutumia silaha Kariakoo, Goba, Kawe na Kunduchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS