Walioiba gari Arusha wakamatwa

Jeshi la Polisi mkoani Arusha linawashikilia watuhumiwa wanne kwa kosa la kuiba gari moja aina ya Toyota Hilux lenye namba za usajili IT 3CD50343065 ambapo liliwekewa  namba bandia za usajili wa Nchi jirani KDA 222H kwa lengo la kuuzwa jijini Arusha

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS