Kamati kuchunguza migogoro ya mipaka Singida

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mary Masanja, akizungumza na wananchi wanaozunguka Hifadhi ya Bonde la Wembere

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mary Masanja, amesema serikali itaunda kamati ya kuangalia migogoro ya mipaka na vijiji vinavyozunguka msitu wa Hifadhi ya Bonde la  Wembere uliopo katika Halmashauri ya wilaya ya Iramba mkoani Singida.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS