Kamati kuchunguza migogoro ya mipaka Singida
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mary Masanja, amesema serikali itaunda kamati ya kuangalia migogoro ya mipaka na vijiji vinavyozunguka msitu wa Hifadhi ya Bonde la Wembere uliopo katika Halmashauri ya wilaya ya Iramba mkoani Singida.