Ukatili wa majumbani upingwe kwa nguvu-Henga
Kituo cha Sheria na Haki za binadamu, wameiomba serikali kutunga sheria mahususi ya kupinga ukatili wa kijinsia au ukatili wa majumbani kwaajili ya kuhakikisha usalama zaidi wa wanawake dhidi ya ukatili wa kijinsia na ukatili wa majumbani.