Maafisa mipango,serikalini tekelezeni mipango
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Lawrence Mafuru amewataka wanamipango kutekeleza mipango inayoonekana na yenye mafanikio Ili kuweza kufanikisha dira ya mendeleo ya miaka mitano ijayo itakayowezesha mabadailiko ya kiuchumi,na kijamii Kwa kizazi kijacho.