Marekani yaingilia kati mzozo wa Rwanda na Congo
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken amemtaka Rais wa Rwanda Paul Kagame kusitisha kile kinacholezwa kuwa uugaji mkono kwa waasi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, huku akionesha hofu juu ya ongezeko la umwagaji damu.