CCM Dar kuwakata wala rushwa na wapenda makundi
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu amesema hataki makundi, rushwa wala kukatana kwenye Mkoa wa Dar es Salama na kuwataka wanachama wote wa chama hicho wavunje makundi yao.