CCM Dar kuwakata wala rushwa na wapenda makundi

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu amesema hataki makundi, rushwa wala kukatana kwenye Mkoa wa Dar es Salama na kuwataka wanachama wote wa chama hicho wavunje makundi yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS