"Rais Samia ni wa mfano kimataifa" - Dkt Mwigulu

Waziri wa Fedha na Mipano, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akizungumza na wakazi wa Kata ya Kaselya,

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais Dkt Samia, amekuwa akipigiwa mfano na mashirika ya fedha ya kimataifa na nchi mbalimbali duniani kwa ubunifu mkubwa wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotokana na fedha za mkopo usiokuwa na riba wa Benki ya Dunia wa Tril 1.3.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS