"Rais Samia ni wa mfano kimataifa" - Dkt Mwigulu
Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais Dkt Samia, amekuwa akipigiwa mfano na mashirika ya fedha ya kimataifa na nchi mbalimbali duniani kwa ubunifu mkubwa wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotokana na fedha za mkopo usiokuwa na riba wa Benki ya Dunia wa Tril 1.3.