Waathirika tope la mgodini wadai fidia

Christina Juma, mkazi wa Mwaduilohumbo

Wakazi wa kata ya Mwaduilohumbo Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu ambao nyumba zao na mashamba yalifunikwa na tope, baada ya bwawa la maji machafu katika mgodi wa Williamson Diamond kupasuka na kusambaa kwenye makazi ya watu, wameiomba serikali kuharakisha  tathimini ili walipwe fidia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS