Naibu Waziri Masanja asisitiza mafunzo kwa vitendo
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mary Masanja, ameziagiza taasisi za Wizara yake kutenga nafasi za mafunzo kwa vitendo kwa wanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) kila mwaka ili kuendana na kasi ya ongezeko la wanafunzi