Polisi Kagera waanza msako wezi wa kichanga
Jeshi la polisi mkoani Kagera limeanza uchunguzi wa kubaini watu wasiofahamika waliohusika na wizi wa mtoto mchanga wa kike Benita Beneti mwenye umri wa mwezi mmoja, ambaye anadaiwa kuibwa Desemba 01/2022 majira ya usiku, katika mtaa wa Migera kata ya Nshambya katika manispaa ya Bukoba