Wanaoambukiza vijana VVU makusudi waonywa

Wadau wa UKIMWI mkoa wa Tabora

Jamii ya watu wanaojitambua kuishi na maambukizi ya virusi vya UKIMWI wilaya ya Tabora wametakiwa kuacha kutumia vishawishi ikiwemo kuwadanganyia fedha vijana wadogo na hatimaye kuwapa maambukizi kwa makusudi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS