Rais Samia aongoze hadi 2030 - Nape Nnauye
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na mbunge wa Mtama Nape Nnauye amesema yeye ni miongoni mwa watu wanaopiga debe Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuchaguliwa katika uchaguzi wa 2025 hadi 2030 ili amalizie kazi ambayo ameianza