Waziri Mkuu atoa maagizo kuhusu punda

Punda

Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Mifugo ya Uvuvi nchini  kuweka juhudi za ziada kwenye uzalishaji wa punda nchini, katika kipindi hiki ambacho wanyama hao wapo hatarini kutoweka Afrika kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya nyama yake nchini China.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS