Wanafunzi 10 waliotolewa mahari wafaulu
Wanafunzi 10 wa kike shule ya msingi Lembapuli kata ya Loolela Wilayani Kiteto Mkoani Manyara, wametolewa mahari katika maandalizi ya kwenda kwa waume zao wakati wakisubiri matokeo ya mtihani wa darasa la saba