Madereva 17 wa magari ya IT wakamatwa
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia madereva 17 wa magari yanayosafirishwa kutoka Bandari ya Dar es Salaam kwenda nje ya nchi (IT) kwa kosa la kusafirisha abiria kinyume cha sheria ya usalama barabarani sura ya 168 inayokataza magari hayo kusafirisha abiria