Serikali yaanza kugawa mbegu za alizeti za ruzuku

Serikali kupitia wakala wa usambazji mbegu nchini ASA inatarajia kusambaza mbegu za alizeti za ruzuku jumla ya tani 2500 nchini nzima, ikiwa na lengo la kutoa ahueni kwa wakulima, ili kulima zao hilo kwa wingi huku wakulima wakitolewa hofu juu ya ubora wa aina ya mbegu zilizopo sasa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS