Atakayejisaidia ufukweni kutozwa faini ya laki 3

Wavuvi wakiendelea na shughuli zao katika ufukwe wa Feri jijini Dar es Salaam

Afisa mazingira na utalii wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Peter John, amesema kwamba mtu yeyote atakayekamatwa akijisaidia haja ndogo ama kubwa katika fukwe ya bahari au fukwe ya soko la samaki Feri, atatozwa faini ya shilingi laki tatu kwa kila kosa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS