Waiba vifaa vilivyonunuliwa kwa tozo za miamala

Mkuu wa wilaya ya Magu Salum Kalli

Watu wanne wakiwemo viongozi wa Kijiji cha Shishani, Kata ya Shishani, Magu mkoani Mwanza, wanashikiliwa na polisi wilayani humo kwa tuhuma za wizi wa mabati 60 pamoja na vigae vilivyonunuliwa na serikali kwa fedha za tozo za miamala ya simu kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha afya Shishani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS