"Haileti afya mwalimu kuangalia sketi" - DC Sakulo
Watumishi katika Halmashauri ya wilaya ya Missenyi mkoani Kagera, wametakiwa kufanya kazi kwa kufuata maadili ya utumishi wa umma na kuzingatia nidhamu kazini, ili kujijengea heshima kwa jamii wanayoiongoza.