Vyombo vya moto nchini kuanza kukaguliwa
Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani linatarajiwa kuanza ukaguzi wa vyombo vyote vya moto nchini yakiwemo magari binafsi, magari ya usafirishaji, bajaji na hata pikipiki, ambapo mara baada ya ukaguzi yatapatiwa stika maalumu za ukaguzi.

