Vyombo vya moto nchini kuanza kukaguliwa

Vyombo vya moto

Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani linatarajiwa kuanza ukaguzi wa vyombo vyote vya moto nchini yakiwemo magari binafsi, magari ya usafirishaji, bajaji na hata pikipiki, ambapo mara baada ya ukaguzi yatapatiwa stika maalumu za ukaguzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS