RC Mbeya aagiza jengo la abiria Songwe likamilike Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Juma Homera, Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Juma Homera, amemwagiza Mkandarasi anayesimamia ujenzi wa jengo la abiria katika Uwanja wa Ndege wa Songwe (SIA), kukamilisha mradi huo ifikapo mwezi Februari mwakani. Read more about RC Mbeya aagiza jengo la abiria Songwe likamilike