Wavuvi walioshiriki ajali ya ndege wapewa mafunzo

Wavuvi 70 wakiwemo walioshiriki kuokoa watu kwenye ajali ya ndege iliyozama ziwa Victoria Novemba 06/2022 wameanza kupatiwa mafunzo maalumu ya ukoaji kutoka idara ya maafa ofisi ya Waziri Mkuu, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wa kushiriki uokoaji pindi zitakapotokea ajali

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS