Kilimo cha umwagiliaji hakikwepeki Tanzania

Kufuatia serikali kupitia wizara ya kilimo kutangaza kusambaza vyakula kwa wilaya 41 nchini ili wananchi kuvipata kwa bei nafuu nimelazika kufika katika soko la Tandale na kuzungumza na wafanyabiashara wa mazao ambao wamesema kuwa bado hakuna unafuu wa bei kwa mazao nyeti ya chakula

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS