Idadi kubwa ya waathirika wa madawa ipo Kinondoni

Kitengo cha kuhudumia waathirika wa dawa za kulevya kilichopo hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mwananyamala kimesema kinahudumia waathirika wa dawa za kulevya  1,459 kwa siku kwa kunywa methadone huku idadi kubwa ya waathirika wa dawa hizo wakitokea Kinondoni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS