Rais aonya nyaraka za serikali kuwepo mitandaoni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amewaonya watunza kumbukumbu nchini kutunza nyaraka za serikali ipasavyo ili zisiendelee kuzagaa mitandanoni kama ilivyo sasa. Read more about Rais aonya nyaraka za serikali kuwepo mitandaoni