Wahukumiwa maisha kwa ugaidi Wanaume wanne wamehukumiwa kifungo cha muda mrefu jela kwa kuwa washirika wa mauaji katika shambulio baya la kigaidi lililotekelezwa na mtu mwenye silaha za kijihadi katikati mwa mji mkuu wa Austria mnamo Novemba 2020. Read more about Wahukumiwa maisha kwa ugaidi