Jambazi aliyehukumiwa miaka 30 jela akamatwa

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam ACP Jumanne Muliro

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limefanikiwa kumkamata Johnson Omary Mchome (39) anayedaiwa kufanya vitendo mbalimbali vya uhalifu (ujambazi) kwa kutumia jina jingine,  huku rekodi zikionesha aliwahi kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa makosa ya unyanganyi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS