Ajiua baada kumuua kijana mwenzake kisa mke wake

Mwili wa Richard Mtafya ukiwa umebebwa kwa ajili ya mazishi

Kijana Richard Mtafya maarufu kama Masumbuko mwenye umri wa miaka 19, mkazi wa Ludewa kijijini inadaiwa amejiua kwa kunywa maji ya betri kwa kukwepa mkono wa sheria kwa shtaka la mauaji lililokuwa likimkabili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS