SUA wampa tuzo Jafo kwa kuleta tija kwenye jamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo, akipokea tuzo

Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) kimetoa tuzo kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo kwa kutambua na kuthamini mchango wake mkubwa wakati akiwa mwanafunzi chuoni hapo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS