Mkurugenzi Mtendaji BMH akutana na mabalozi

Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Benjamin Mkapa Dkt.Alphonce Chandika

Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Benjamin Mkapa Dkt.Alphonce Chandika, leo amekutana na mabalozi wa Tanzania waliopo Mashariki ya kati, Ulaya na Amerika, Asia kwa dhumuni la kuwaeleza mafanikio yaliyo letwa na Serikali katika sekta ya afya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS