Chomoka na ndinga mpya msimu wa Kombe la Dunia

Msanii Marioo kwenye picha ya promosheni Chomoka na Ndinga.

Zikiwa zimepita siku chache tokea kuanza kwa Kombe la Dunia huko nchini Qatar, kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch Tanzania imewapa wateja wake na wadau wote wa kubeti mchongo wa kujishindia gari mpya na ya kisasa, simu janja pamoja na bodaboda kutoka kampeni ya Chomoka na Ndinga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS