Silaha haramu 6,000 zateketezwa Dar Silaha zaidi ya 6000, zilizoteketezwa Kunduchi Naibu Waziri wa Mambo ya ndani nchini, Jumanne Sagini ameliagiza Jeshi la polisi kufanya uchunguzi kwenye mikoa iliyoongoza kwa usalimishaji wa silaha haramu, ili kubaini vyanzo na matumizi ya silaha hizo. Read more about Silaha haramu 6,000 zateketezwa Dar