Ushahidi kesi ya Zumaridi wafungwa Ushahidi wa Jamhuri katika kesi namba 12 ya kufanya mkusanyiko usio halali inayomkabili Diana Bundala maarufu kama mfalme Zumaridi na wafuasi wake 83 umefungwa leo katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Mwanza. Read more about Ushahidi kesi ya Zumaridi wafungwa