Ushahidi kesi ya Zumaridi wafungwa

Ushahidi wa Jamhuri katika kesi namba 12 ya kufanya mkusanyiko usio halali  inayomkabili Diana Bundala maarufu kama mfalme Zumaridi na wafuasi wake 83 umefungwa leo katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Mwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS