Waliovamia bonde la Ihefu waanza kuondolewa

Bodi ya maji bonde la Rufiji imeanza utekelezaji wa agizo la serikali la kuwaondoa wananchi waliovamia vyanzo vya maji  kwa kubomoa mifereji isiyo rasmi ambayo inachepusha  maji katika bonde la Ihefu na Usangu na kuathiri mtiririko wa maji katika mto Ruaha mkuu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS