Afrika Kusini yaisifu Tanzania kuitunza Historia Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa Serikali ya Afrika Kusini imetoa pongezi na shukrani kwa Tanzania kwa kuendelea kuhifadhi na kulinda maeneo ya Historia ya wapigania Uhuru wa nchi hiyo yaliyoko Mazimbu mkoani Morogoro. Read more about Afrika Kusini yaisifu Tanzania kuitunza Historia