Rais Samia ataka maadili ya kuzingatiwa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa viongozi wa dini wa madhehebu mbalimbali kuwahimiza waumini wa dini zao kuzingatia mila, utamaduni na maadili ya kitanzania. Read more about Rais Samia ataka maadili ya kuzingatiwa