Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye akikabidhi tuzo kwa mshindi wa jumla wa tuzo za mlipa kodi bora 2021/2022
Serikali ya Tanzania imekemea urasimu wa upatikanaji wa Tin namba kwa wafanyabiashara na kuacha kutoa vitisho kwa wafanyabiashara wakati wa ukusanyaji wa kodi.