Wenye ving'ora bila kibali wapewa saa 24 kuvitoa

Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Kikosi cha Usalama Barabarani  Ramadhani Ng'anzi ametoa masaa 24 kwa wamiliki wa magari waliyoweka ving'ora na vimulimuli na hawatambuliki kisheria kuviondoa haraka iwezekanavyo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS