PM awataka NHC kushirikiana na wabia wenye uwezo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipozindua Sera ya Ubia ya Shiirika la Nyumba la Taifa (NHC) kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Novemba 16, 2022.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amelitaka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kuhakikisha kuwa linachambua na kupitia kwa umakini wawekezaji watakaoleta maombi ya ujenzi wa miradi ya ubia na Shirika hilo ili kupata wawekezaji wenye uwezo wa kukamilisha ujenzi kwa viwango na wakati.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS