Waziri Mkuu aagiza changamoto za uvuvi kutatuliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameiagiza Wizara ya Mifugo a Uvuvi, kuandaa mikutano ya mara kwa mara na wadau wa uvuvi ili kujadili changamoto zilizopo katika sekta hiyo na kuzipatia ufumbuzi kufuatia mazao ya uvuvi kutajwa kupungua katika ziwa victoria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS